Waandishi andikeni habari zote si uchaguzi -Nkulu

Makamu wa mwenyekiti wa Mbeya Press Club Modestus Nkulu akifunga mafunzo ya waandishi wa habari

Waandishi wa habari mkoani Mbeya wamekumbushwa kutoandika masuala ya kisiasa pekee wakati huu wa mchakato wa uchaguzi mkuu na badala yake wajikite zaidi kuandika habari za kijamii ambayo ndio msingi mkuu wa maendeleo ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS