Nyamwela kuanzisha taasisi ya vipaji msanii wa muziki na msakata dansi mkongwe nchini Tanzania Super Nyamwela Super Nyamwela, msanii wa muziki na msakata dansi mkongwe hapa nchini, ameweka wazi mpango wake wa kurasimisha namna ya kusaidia kukuza vipaji vya kudansi hapa nchini. Read more about Nyamwela kuanzisha taasisi ya vipaji