Tunataka viongozi wenye maamuzi magumu. #ZamuYako2015 Tuliojiandikisha tupige kura kumchagua kiongozi anaefa, Umoja ni nguvu kwa pamoja tutapata viongozi wajasiri na wenye maamuzi magumu na msimamo mkali. Read more about Tunataka viongozi wenye maamuzi magumu. #ZamuYako2015