Lowassa aanza Iringa,Duni aacha mzozo Mtwara
Mgombea urais wa vyama vinavyounda (UKAWA) Mh. Edward Lowassa akiambatana na waziri mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye wameanza kazi ya kunadi sera zao mikoani katika mkoa wa Iringa huku wakiendelea kuungwa mkono na maelfu.

