Maandalizi uchaguzi mkuu mbioni kukamilika-Kailima

kurugenzi Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhan.

Tume ya taifa ya uchaguzi imesema maandalizi ya uchaguzi yamekamilika kwa zaidi ya asilimia 50 baada ya kupokea sh bilioni 72 za ufanikishaji wa zoezi hilo kwa kusambaza vifaa vya uchaguzi mikaoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS