MCT wawanoa waandishi kanda ya Kati

Mwandishi Mkongwe hapa nchini,Mzee Fili Karashani ambaye aliwahi kupata tuzo ya Maisha ya Mafanikio katika Tasnia ya Habari mwaka 2011

Baraza la habari nchini kwa kushirikiana na BBC Media Action wametoa mafunzo ya namna ya kuandika habari za uchaguzi kwa waandishi wa habari wa mikoa ya Dodoma, Singida na Morogoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS