Ney afunguka kuhusu Pam D

Msanii Ney wa mitego amefunguka juu ya taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kwamba ana mahusiano ya kimapenzi na Msanii wa Bongo Flava mwenye figure matata Pam Dafa, na kusema wao ni marafiki tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS