Asilimia 80 ya dawa nchini zinatoka nje ya nchi

Katibu mkuu wa wizara ya afya na ustawi wa jamii Dokta Donann Mmbando.

Serikali kupita Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema kuwa asilimia 80 ya madawa ya binadamu yanayotumika hapa nchini yanatoka nje ya nchini kutoka na ukosefu wa uwekezaji mdogo wa viwanda vya dawa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS