Wasanii wahimiza Amani Tanzania

Msanii nyota wa mashairi na pia msanii wa muziki nchini Mrisho Mpoto

Ikiwa ni sehemu ya mchango wa wasanii wa muziki hapa nchini siku ya leo wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Amani, wito umeendelea kutolewa kwa watanzania kuwa na amani hususan katika kuelekea kushiriki zoezi la uchaguzi mkuu tarehe 25 mwezi Oktoba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS