Ukusanyaji zao la korosho waongezeka Mtwara

Kaimu Meneja mkuu wa Chama Kikuu cha Ushirika cha MAMCU, Kalvin Rajab

Jumla ya tani 4,000 za korosho zimekusanywa na Chama Kikuu cha Ushirika cha MAMCU kutoka kwa wanunuzi holela wa zao hilo (Kangomba), kufuatia jitihada zinazofanywa na bodi ya korosho Tanzania za kudhibiti ununuzi huo katika maeneo mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS