Wizkid: Nilikuwa nangojea watu makini
Baada ya mwisho wa wiki kufanya shoo kali ya aina yake katika viwanja vya Leaders Club, nyota wa kimataifa Wizkid ambaye ni mara yake ya kwanza kutumbuiza Tanzania, ameeleza kuwa alikawiza ujio wake ili kufanya kazi na watu sahihi.