Marufuku upikwaji pombe za kienyeji wilayani Bahi Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Francis Mwonga, akiongea na wananchi wa Kijiji cha Mtitaa Wilaya ya Bahi mkoa wa Dodoma, imepiga marufuku upikwaji wa pombe za kienyeji kufuatia wilaya hiyo kukumbwa na ugonjwa kipindupindu. Read more about Marufuku upikwaji pombe za kienyeji wilayani Bahi