Mtwara vijijini walalamikia uongozi wa RITA

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi. Emmy Hudson akitoa maelezo kuhusu ushiriki wa RITA katika tathmini

Wananchi wa halmashauri ya Mtwara vijijini wamepaza sauti zao kuulalamikia uongozi wa Wakala wa Usajili wa Vizazi na Vifo (RITA) mkoa wa Mtwara, kutokana na usumbufu wanaoupata katika ufuatiliaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wachanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS