BOMOABOMOA DAR IMEZINGATIA SHERIA- KAMISHNA ARDHI

Kamishna wa Ardhi nchini Tanzania, Bw. Moses Kusiluka amesema zoezi la kubomoa nyumba lililofanyika jana Kurasini eneo la Shimo la Udongo Jijini Dar es Salaam limefanyika kwa kuzingatia sheria zote na haki.

Bw. Kusiluka ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amesema serikali tayari imekwishahakiki na kutoa malipo ya fidia kwa wale wanaobomolewa nyumba zao na kuahidi kuendelea na uchunguzi wa kubaini watendaji wanaokula fedha za fidia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS