Stars yaweka imani ya ushindi leo kwa Algeria

Timu ya Taifa ya Tanzania leo usiku saa 1:15, sawa na saa 3:15 kwa saa za Afrika Mashariki itashuka Uwanja wa Mustapher Tchaker dhidi ya Algeria katika mchezo wa marudiano wa kuwania kufuzu kwa fainali za kombe la Ddunia mwaka 2018 nchini Urusi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS