Serikali yashauriwa kutoa elimu ya Ufundi bure

Mwenyekiti wa baraza la chuo cha ualimu Veta Prof. Elifasi Bisanda

Katika kuhakikisha nchi ya Tanzania inafikia malengo ya kuwa na uchumi wa kati wadau wa elimu wameshauri kutolewa bure kwa elimu ya ufundi katika vyuo vinavyosimamiwa na mamlaka ya elimu ya ufundi stadi nchini veta.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS