Kocha mpya wa kikapu taifa kusaini miaka 2

Shirikisho la mpira wa kikapu nchini TBF, wako kwenye mchakato wa mwisho kusaini mkataba wa miaka miwili na kocha wa kigeni kutoka nchini Marekani, kwaajili ya kuja kuifundisha timu ya taifa ya mchezo huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS