Serikali yaagiza makampuni ya mafuta kulipa madeni

Waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji Charles Mwijage

Serikali imeyataka makampuni yanayoagiza na kuingiza nchini mafuta ya petroli, kulipa deni ambalo kampuni hizo zinadaiwa na serikali vinginevyo serikali itasitisha huduma za makampuni hayo mara moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS