Burundi isimamishwe uanachama wa EAC - Wadau

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Afrika (PALU),Donald Deya

Asasi za kijamii na Taasisi za nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimewasilisha maombi yao kwa Bunge la Afrika Mashariki na kupendekeza kusimamishwa uanachama nchi ya Burundi, ili kuilazimisha kushiriki mazungumzo ya Amani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS