Mazombi wanashambulia wafuasi wa CUF -Maalim Seif

Makamu wa kwanza wa rais wa serikali ya visiwa vya Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad ambaye pia ni katibu mkuu wa CUF ameishutumu serikali kwa kufumbia macho makundi yanayowavamia na kuwapiga wafuasi wa chama cha upinzani cha CUF .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS