Wazee Yanga wataka kadi zote zitumike uchaguzi wao

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Klabu ya Yanga akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani.

Baraza la Wazee la Yanga wameliomba Baraza la Michezo Tanzania (BMT) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwakubalia kutumia kadi mbili za zamani na za Benki ya Posta katika uchaguzi mkuu wa klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS