Mabondia wa Tanzania, Kenya na Nigeria kuvaana Dar

Mabondia wakichuana katika moja ya mashindano ya mkoa wa Dar es Salaam.

Chama cha ngumi mkoa wa Dar es Salaam DABA kimeandaa mashindano maalumu ya klabu bingwa ya mkoa huo kwa mara ya kwanza yenye hadhi ya kimataifa huku yakishirikisha mabondia kutoka vilabu mbalimbali katika nchi za Kenya, Nigeria na wenyeji Tanzania

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS