Mabondia wa Tanzania, Kenya na Nigeria kuvaana Dar
Chama cha ngumi mkoa wa Dar es Salaam DABA kimeandaa mashindano maalumu ya klabu bingwa ya mkoa huo kwa mara ya kwanza yenye hadhi ya kimataifa huku yakishirikisha mabondia kutoka vilabu mbalimbali katika nchi za Kenya, Nigeria na wenyeji Tanzania
