Wafanyabiashara msipandishe bei vyakula vya futari

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Alhad Mussa Salum.

Wafanyabiashara Jijini Dar es Salaam wametakiwa kuendelea kuuza bidhaa zao kwa bei ya kawaida katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani na kuepuka kujiongezea faida isivyohalali kupitia mwezi huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS