TFF yatuma salamu za rambirambi NFF, CAF na FIFA

Nyota wa zamani wa Nigeria akiwa mchezaji na baadaye kocha, Marehemu Stephen Keshi.

Shirikisho la Soka nchini TFF kupitia kwa Rais wake Jamal Emily Malinzi limetuma salamu za rambirambi Shirikisho la Soka Nigeria NFF,CAF pamoja na FIFA kupelekea kifo cha nyota wa zamani wa Nigeria akiwa mchezaji na baadaye kocha Stephen Keshi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS