Tutatoa huduma ya chakula kwa Wagonjwa-MNH
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam imefuta ratiba ya kuwaona wagonjwa nyakati za mchana ili kuwaletea chakula kuanzia Julai mosi mwaka huu kutokana na kueleza kuwa wameboresha huduma za utoaji chakula katika hospitali hiyo.

