Ulimwengu kambini na Taifa Stars kuivaa Misri
Nyota wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu amejiunga na timu ya taifa, Taifa Stars leo kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika dhidi ya Misri Jumamosi wiki hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.