Rais Kagame kufungua Maonesho ya Sabasaba

Rais wa Rwanda Paul Kagame(Kulia) Akiongea Glasi na Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Rais wa Rwanda Paul Kagame anatarajiwa kufanya ziara nchini Tanzania julai Mosi mwaka huu ambapo pamoja na mambo mengine, atafungua maonesho ya 40 ya Kimataifa ya Biashara Jijini Dar es Salaam,(DITF),Sabasaba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS