Agizo la madawati lashindikana Mbeya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amosi Makalla Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla amesema kuwa kati ya Halmashauri saba za mkoa huo, halmashauri ya jiji pekee ndio haijakamilisha zoezi la utengenezaji wa Madawati licha ya kwamba tarehe ya kikomo imepita. Read more about Agizo la madawati lashindikana Mbeya