Msijihusishe na siasa vyuoni-Dkt. Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia mamia ya jamii ya wanachuo

Rais Dkt.John Magufuli pia amewataka wanafunzi wa vyuo nchini kuacha kujihusisha na masuala ya siasa na badala yake wazingatie jukumu kuu lililowapeleka vyuoni huku akibainisha kuwa serikali haitavumilia vitendo vya vurugu vyuoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS