Madhara ya zoezi la uzimaji simu feki sasa dhahiri

Madhara ya zoezi la uzimaji wa simu bandia litakalofanywa na Mamlaka ya Mawasiliano TCRA ifikapo Juni 16 mwaka huu yameanza kuonekana kwa wafanyabiashara wa simu eneo la Kariakoo ambao baadhi yao wamefilisika na kuanza kufunga biashara zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS