Wanafunzi wakosa masomo kwa ukosefu wa vyoo Wanafunzi wakiangalia vyoo wanavyovitumia Wanafunzi wa Shule ya msingi Maendeleo Manispaa ya Mtwara Mikindani wanalazimika kukosa sehemu ya vipindi vya masomo darasanai kutokana na kupanga foleni kusubiri zamu ya kwenda kujisaidia chooni. Read more about Wanafunzi wakosa masomo kwa ukosefu wa vyoo