Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Freeman Mbowe, jana ameachiwa kwa dhamana mara baada ya kuhojiwa na jeshi la Polisi kwa takribani masaa matatu jijini Dar es Salaam.