Wananchi kugawiwa mabaki ya dhahabu Geita

Rais wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli.

Rais wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli, ametoa wiki tatu kwa Wizara husika kuhakikisha wanatoa mabaki ya mawe ya dhahabu maarufu kama Magwangala na kuyagawa kwa wananchi wa Mkoa wa Geita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS