NFRA yaagizwa kwenda moja kwa moja kwa Wakulima
Serikali imeiagiza wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), kanda ya kusini kuhakikisha wanakwenda moja kwa moja kwa wakulima kupitia kata na vijiji kununua mahandi ya wakulima ili kuepusha usumbufu.
