Cas yapokea tena rufaa ya wanariadha wa Urusi

Bado sakata la Urusi kupigania wanariadha wake waliozuiwa tena na vyama vya michezo vya kimataifa kushiriki Olimpiki, baada ya kuruhusiwa na IOC, sasa nchi hiyo imekimbilia tena kwenye mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa kimichezo Cas.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS