Lazima tutaifunga MO Bejaia-Hans van Pluijm
Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Hans van Pluijm, amepanga kurejesha imani na furaha iliyopotea kwa mashabiki wa timu hiyo kwa kuhakikisha wanawafunga MO Bejaia katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika.

