Wagunduzi watakiwa kutumia teknohama kubuni

Mkurugenzi wa Mawasiliano wizara ya Mawasiliano,Ujenzi na Mawasiliano Clarence Ichwekeleza

Wagunduzi nchini Tanzania wametakiwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika kubuni na kugundua teknolojia mpya zitakazosaidia kutatua matatizo ya jamii pamoja na kukuza uchumi wa viwanda .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS