Lissu afunguliwa mashitaka mengine, apewa dhamana Tundu Lissu akiwa mahakamani Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu amepewa dhamana muda huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya kukana mashitaka matatu ya uchochezi aliyosomewa. Read more about Lissu afunguliwa mashitaka mengine, apewa dhamana