Rais Magufuli awashuruku viongozi wa dini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo amewashukuru Viongozi na Waumini wa Kanisa la Anglikana na Madhehebu mengine ya Dini hapa nchini kwa kuendelea kuliombea Taifa na kudumisha amani na utulivu.