Mila zinaweza kuleta maadili mazuri - Ole Nasha

Naibu Waziri wa Kilimo , Mifugo na Uvuvi William Ole Nasha

Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi. William Ole Nasha amesema vijana katika jamii wanatakiwa kuenzi mambo yote mema yanayofundishwa na makabila kama mila na desturi na kuacha kuiga mambo ambayo ni kinyume na jamii yetu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS