Simbachawene aiwakia Bodi ya Mfuko wa Barabara

Waziri wa nchi Ofisi ya rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene.

Serikali imeagiza bodi ya mfuko wa barabara kutoa sababu zinazosababisha bodi hiyo kutenga fedha kidogo kwa ajili ya kujenga barabara zilizopo chini ya mamlaka ya serikali za mitaa tofauti na fedha zinatotengwa kwa TANROADS.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS