Arusha walalamikia ubovu miundombinu ya maji

Wakazi wa mtaa wa Kambi ya Fisi, kata ya Ngarenaro mkoani Arusha wakivuka daraja ambalo kipindi cha mvua halipitiki na kukata mawasiliano.

Katika kuelekea msimu wa mvua baadhi ya wakazi wa mtaa wa Kambi ya Fisi, kata ya Ngarenaro mkoani Arusha wameuomba uongozi wa serikali ya mkoa, kuchukua tahadhari za mapema katika kuandaa njia za mitaro ya maji taka ili kuepukana na adha ya mafuriko.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS