Sheikh DSM awaasa vijana kuwa na maadili mema

Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Musa Salum.

Vijana nchini Tanzania, wametakiwa kuwa na maadili mema na kufuata mIsingi ya dini zao pamoja na kufanya kazi kwa bidii na kuisaidia jamii inayowazunguka ili kuleta maendeleo chanya kwao na taifa kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS