Serikali yaweka mikakati ya kumlinda mtoto wa kike

Dkt Hamis Kigwangalla

Wakati Tanzania leo inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya mtoto wa kike, serikali imesema imeanza utekelezaji wa mikataba mbalimbali ya kumlinda mtoto hasa mtoto wa kike.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS