Serikali yadhamiria kukuza Utalii na Kilimo

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amesema, Serikali imedhamiria kuimarisha sekta ya kilimo na Utalii ili ziweze kutoa mchango mkubwa kuinua uchumi wa Taifa pamoja na kuwaondoa wananchi wake kutoka katika lindi la umasikini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS