Mkanyagano waua 52 Ethopia

Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn.

Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn amewalaumu watu waliokuwa wakifanya fujo, kwa kusababisha mkanyagano katika jimbo la Oromiya, ambako amesema watu 52 wamefariki dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS