Kigamboni yajipanga kukabiliana na uhalifu

Serikali imeanza ujenzi wa kituo kikubwa cha Polisi Wilaya ya Kigamboni sambamba na kuongeza askari wa kutosha kutokana na kukithiri kwa uingizwaji wa bidhaa za magendo na uhalifu katika maeneo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS