Nchi za OPEC kupunguza uzalishaji wa mafuta Mohammed Bin Saleh Al-Sada - Rais wa OPEC Muungano wa nchi zionazozalisha mafuta kwa wingi duniani (OPEC) zimekubali kupunguza uzalishaji wa mafuta hatua ambayo ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka nane ili kuimarisha bei ya mafuta duniani. Read more about Nchi za OPEC kupunguza uzalishaji wa mafuta