Hatutoi mikopo kwa kuangalia jina la chuo - Wizara
Mhandisi Stella Manyanya akiwa Kikaangoni
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Mhandisi Stella Manyanya amesema kuwa serikali haitoi mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa kuangalia jina la chuo au ubaguzi wa wanafunzi.