Uganda 'The Cranes' kupiga kambi Tunisia na Dubai

Uganda The Cranes

Timu ya Taifa ya Uganda Cranes inatarajiwa kupiga kambi katika nchi za Tunisia na mji wa Dubai, katika Falme za Kiarabu (UAE) ikiwa ni maandalizi ya fainali za Mataifa ya Afrika  AFCON 2017 nchini Gabon.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS