Wagonjwa wa upasuaji kupata kupata suluhu Njombe

Mkuu wa mkoa wa (katikati) Dkt Rehema Nchimbi, kushoto ni mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri na wa kushoto ni mkuu wa wilaya ya Makete Veronica Kessy.

Wananchi wa halmashauri ya wilaya ya Njombe wanatarajia kutatua tatizo la upasuaji kwa mama wajawazito na upasuaji mwingine wa wagonjwa baada ya halmashauri hiyo kuanza kujenga chumba cha upasuaji katika kituo cha afya cha Lupembe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS