Makampuni ya Kuwait yachangia mil. 71 za tetemeko
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea msaada wa Dola za Marekani 33,000 (sawa na sh. milioni 71) kutoka kwa makampuni ya Kuwait ili ziwasaidie wananchi walioathirika na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera, hivi karibuni.